AY |
Msanii
J Martin kutokea Nigeria na Aliekuwa
pruducer wa Psguare Mwanzo Amefanya kazi
na Wasanii wakali wa Tanzania AY pamoja na FA
katika studio za MJ RECORDS chini ya produza MARCO CHALII.
Katika
wimbo huo J Martin amefanya vesi nzima na kafanya hivyo kutokana na ukweli
kwamba alipenda kazi hiyo japo wahusika mwazo walifikili kumpa nafasi ya chorus
tu lakini baada ya kuisikia ngoma na kuvutiwa
nayo alijikuta akitaka kufanya vesi nzima .
Ngoma
hiyo kwa mujibu wa mwana FA Inatarajiwa kutoka mwishoni mwa mwezi wa nne au
mwanzoni mwa mwezi wa tano japo amesema kuwa mwezi wa nne wanategemea kufanya
Video ya ngoma hiyo ili kuwaonesha watanzania kile walichoimba katika ngoma
hiyo.
0 comments:
Post a Comment