DULAYO |
Msanii
wa Bongo fleva Dulayo anataka kuachia tracck yake mpya inayokwenda kwa jina la
SUBIRA lakini kwa mujibu wa stori iliyopo ndani baadhi ya watu walioisikia
track hiyo wameibatiza jina la Facebook.
Ndani
ya subira A.K.A Facebook Dulayo amezungumzia juu ya msichana aliekutana
kutokana na mitandao ya kijamaa kama facebook anasema kuwa ilikuwa vigumu kwa
binti kumuelewa kwa kuwa tu walikuwa hawajawahi kuonana hivyo alihisi labda
alikuwa akitaniwa au alitaka kuchezewa.
Lakini
baadae walikuwa kitu kimoja mpaka kufikia hatuwa ya kuwa Mume na mke hivyo sasa
Mtu mzima Dulayo anamkumbusha mkewe kuwa unakumbuka tulipokuwa tukichat na
kuwasiliana kupitia mitandao ya kijamii,tulikuwa hatufikili kuoana lakini mpaka
imefikia kuwa wapenzi.
Hiyo
ndio facebook ya dulayo swali sasa jeeeeee? KUNA UHALISIA KATIKA HALI HII
UNAWEZA FUNGUKA YAKO KWA UZOEFU WAKO NA HII MITANDAO YA KIJAMIIII.
0 comments:
Post a Comment