Na Kitalima Gerald
MRATIBU wa Ligi Tabata Super Cup Rodgers Peter
Amesema ligi ya Jezi inaendelea kutimua kivumbi katika viwanja vya Tabata Shule
Ambapo kwa sasa wapo Katika Mzunguko wa mtoano.
Akizungumza na Mpita Njia Rodgers Amesema kuwa
mshindi wa Kwanza atapata Jezi fulu pea Nne,Mshindi wa Pili atapata Jezi
peaTatu fulu na Mshindi wa Tatu atapata Jezi Pea Mbili Fulu
0 comments:
Post a Comment