Msanii
anaetamba na kufanya vizuri kwa ngoma ya My NumberOne ambayo
imetengenezwa na produza Sheddy Clever amefunguka na kusema kuwa
amesikitishwa sana na mambo ambayo amekuwa akizushiwa SIKU ZA
KARIBUNI IKIWA NA PAMOJA NA KUANDIKwa kuwa anajihusisha na madawa ya
kulevya,Kuiba nyimbo na issue ya Kuzaa na Mwanafunzi wa Kidato cha
Nne.
siku
za karibunbi kumekuwepo na taarifa mbali mbali juu ya Mwanamuziki
Diamond Platnum kuwa anajihusha na Biashara ya kuuza na kusafirisha
Dawa za kulevya ambazo zinamfanya asafiri mara kwa mara Nchi
mbalimbali.
Juu
ya sakata hili Diamond Platnum amekanusha Tarrifa hizo na kusema kuwa
yeye ajihusishi na Biashara hizo kabsaa wala hafahamu chochote juu ya
Biashara hiyo bali amekuwa akipakaziwa tu pia amesema kuwa kipato
akipatacho kinatokana na kazi yake ya Usanii na si kitu kingine.
Pili
kulikuwa na Taarifa za yeye kuiba Wimbo wa Msanii Dyana Baba Levo
ambao walikuwa wakilaumu kuwa Mwanamuziki huyo amewaibiwa Wimbo.
Platnum
amekanusha taarifa hizo na kusema kuwa kulikuwa na makubaliano mazuri
kati ya Dyana na Produza Sheddy Clever ambae awali alimpa biti hiyo
Dyana zaidi ya mwaka moja uliopita lakini ilionekana alishindwa
kuifanyia kazi ndipo Produza huyo alipoamua kumpa biti hiyo Diamond
Platnum na yeye kufanya unyama wake katika Ngoma hiyo.
MAHUSIANO
YAKE NA PENNY alipohojiwa juu ya mahusiano yake na Mwanadada Penny
amefunguka na kusema kuwa Ule ndio moyo wake hivyo ataendelea kumjali
na kumtunza .







0 comments:
Post a Comment