Ule
wakati wa vijana wa kitanzania waliopo dar kuweza kuonesha vipaji
vyao mbele ya majaji wa Bongo star Search umeshafika.
Kwa
mujibu wa Epiq Bong Star Search wamesema kuwa usaili utafanyika
katika Uwanja cha Taifa jijini Dar es salaam na wamewasisitiza
washiriki kuweza kuwahi ili kuepuka foleni kutokana na ukweli kwamba
miaka yote Dar huwa inakuwa na washiriki wengi.
“Usaili
unaanza kesho Dar es salaam kuanzia asubuhi. Fika mapema kadri
uwezavyo kupeuka foleni. Usaili utafanyika Uwanja wa
Taifa.”
Kumbuka: Ili uweze kushiriki unapaswa kuwa na "Laini ya simu ya Zantel" ili uweze kufanya usajili kwa ajili ya usaili. Tumia laini yako ya Zantel kutuma neno "KAMUA" kwenda "15530" kisha fuata maelekezo.
Kumbuka: Ili uweze kushiriki unapaswa kuwa na "Laini ya simu ya Zantel" ili uweze kufanya usajili kwa ajili ya usaili. Tumia laini yako ya Zantel kutuma neno "KAMUA" kwenda "15530" kisha fuata maelekezo.
0 comments:
Post a Comment