Thursday, February 20, 2014

IZZO BUSSINESS KUTAMBULISHA TUMMOGHELE

Msanii Izzo Biashara ambae anaiwakirisha Mbeya katika muziki wa Bongo Fleva siku ya Jumapili ya Tarehe 23.02 atatambulisha wimbo wake mpya
unaokwenda kwa jina la Tummoghele katika ukumbi wa Club 71 Kibo Complex pande za Tegeta.

Msanii Izzo B atasindikizwa na wakali kibao wakimemo Quick Racka,Barnaba,Shaa,Mirror,Gosby,Roma pamoja na Recho wa upepo wakali wote hawa watamsindikiza Izzo B na kiingilio itakuwa itakuwa na shilingi elfu sita tu.

0 comments:

Post a Comment