Wednesday, December 11, 2013

WIVU WA MAPENZI WAMPONZA MKE WA BARACK OBAMA.TAZAMA PICHA HIZO HAPA

Wakati ulimwengu ulikuwa ukitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais Mtaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela mjini Johannesburg kuliibuka kituko ambacho
kilifanywa na Rais wa Marekani pamoja na Mkewe Michelle Obama baada ya Mke wa Obama kuonesha Wivu wa wazi wazi kwa Mumewe huyo baada ya kuona yupo busy akipiga Picha na kupiga stori na Waziri Mkuu wa Danish Helle Thorning-Schmidt .
 
Kutokana na kitendo hicho Mke wa Obama alionekana kulitazama Jukwaa huku akiwa hana Time na kile kilichokuwa kikiendelea lakini kama binadamu alishindwa kujizuia na kujikuta akihama toka upande wa Kushoto na kwenda kukaa Upande wa kulia ambapo aliweka uzibe kwa Waziri huyo wa Danish kuendelea kujiachia na Barack Obama.
Kutokana na mazingira haya Mitandao mingi ya Ulaya imeandika juu ya kitendo hicho kilichofanywa na First lady Michelle Obama na kudai kuwa hakikuwa cha kiungwana.

0 comments:

Post a Comment