Tuesday, December 10, 2013

WEUSI NA BEN PAUL KUKINUKISHA MBEYA IJUMAA HII

Wakali wa Muziki kutoka Kaskazini mwa Tanzania nawazungumzia WEUSI KAMPUNI wakiwa na Mwamba wao JOH Makini wamepania kufanya mambo
makubwa Mbeya usiku wa Ijumaa Tarehe 13.12.2013 katika Pub City kwa kiingilio cha Buku 5.

Weusi ni kundi ambalo kwa Mwaka 2013 wameweza kuudhirishia Umma kuwa wao ni wakali wa Floo na kucheza na jukwaa kwani kila walipopata nafasi ya kufanya Show walionesha Uwezo wao mkubwa wa kucheza na Mashabiki na kwenda nao pamoja.


Wakali hao wanataka kushare Ujuzi huo na wana kutoka Mbeya huku wakisindikizwa na Wakali wa RNB Tanzania Ben Paul na Damian Soul.

0 comments:

Post a Comment