Tuesday, December 10, 2013

HIKI NDICHO MANCHESTER UNITED WAMEANDIKA LEO JUU YA MISA YA NELSON MANDELA

Manchester United timu ambayo ipo katika wakati mgumu baada ya kukubali vipigo mara kwa mara na kusababisha timu giyo kuanza kupata lawama nyingi
huku zikielekezwa kwa Kocha wa Kikosi hicho,kutokana na mazingira hayo kikosi hicho kinapitia magumu mengi kwa sasa lakini kwa kuwa leo kuna Misa ya kumuaga Rais Mstaafu Marehemu Nelson Mandela Kikosi hicho kimeandika Ujumbe Mfupi ambo ni huu hapa.

Our thoughts turn to South Africa this morning, as a memorial service is held in Johannesburg for the late Nelson Mandela.

Fikra zetu zinaelekea Afrika ya kusini asubuhi hii ambako kutakuwa na Misa  ya Kumuombea na kumsalia Marehemu Nelson Mandela,ambayo itafanyika Mjini Johannesburg.

0 comments:

Post a Comment