Maisha
Plus ambayo inaendeshwa na Masoud Kipanya inatoa nafasi kwa Vijana
ambao wanahitaji kujiunga na kwenda kuonesha uwezo wao katika
kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoonyesha uhalisia wa Maisha
kwa namna moja au nyingine na kutoa nafasi kwao kuonesha uwezo wao
kulingana na Vipaji vyao.
Kwa
mujibu Masoud Kipanya amesema kuwa kwa sasa fomu ya kujiunga katika
kijiji cha Maisha Plus zimeanza kupatikana sehemu mbalimbali.







0 comments:
Post a Comment