Friday, December 6, 2013

PESA IMEMWOKOA WEMA KWENDA SEGEREA

Katika kesi iliyokuwa inamkabili Mwanadada Wema Sepetu ambaye anafahamika kwa jina la Beutifuly Onyeye baada ya Kumpiga na kumtukana Meneja wa Hotel
ya Mediterinian ambaye alifahamika kwa jina la Godlucky Kayombo imetolewa Hukumu na Staa huyo kutakiwa kwenda Jela Miezi Mitatu au kulipa Faini ya shilingi laki moja kwa maana ya elfu hamsini kwa kila kosa baada ya kukutwa na hatia ya kutenda makosa hayo mawili ya kupiga na kutukana.

Lakini Mwanadada Wema aliweza kulipa Faini ya Laki moja na kuwa Huru na maisha yake ya kila siku.

0 comments:

Post a Comment