Monday, December 16, 2013

UNADHIFU NI MOJA KATI YA SILAHA ZA KUPATA MAFANIKIO-JOKATE

Mwanadada Jokate alimaarufu kama KIDOTI leo amefunguka na kuonesha moja ya njia ya mafanikio kwa mtu yoyote yule kuwa ni Unadhifu vijana wa sasa
wanapenda kuitana Masharobaro kwa wakiume huku wa Kike wanapenda kuitana Masister du kama si warembo.

Mwadada Jokate alianza kwa kuwapa Big Up watu wote ambao kilasiku ifikapo asubuhi kabla ya kuchomoka na kwenda katika mishe zao lazima wapte katika Vioo vyao kujicheki kama wapo okayy na si kukurupuka tu kama umefunamiwa.

Unadhifu: Shout out kwa wapendwa wote wanaojiangalia kwenye vioo kabla hawajatoka kwenda masomoni /makazini”

Hakuishia hapo alibidi aongeze ongezee kitu ambacho pengine hata yeye kimemsaidia kufika hapo alipo sasa katika mafanikio yake,maana kila umuonapo siku zote na wakati wote huwa safii hivyo amekili wazi Usafi wake ni Silaha ya Mafanikio yake ya sasa.

Unadhifu ni moja kati ya silaha za kupata mafanikio.”


0 comments:

Post a Comment