Thursday, December 12, 2013

TAZAMA PICHA YA MGONJWA LADYJAYDEE AKIWA BUSY NA SIMU HOSPITALI

Siku zote Ugonjwa ni ugonjwa kwani unamfanya mtu kukosa raha na wakati mwingine kumfanya apate mateso kutokana na namna ugonjwa huo
unavyomtesa.

Imekuwa tofauti kidogo kwa Mwanadada Ladyjaydee ambaye amepost Picha akiwa amelazwa Hospitali huku akiwa busy mwenyewe na kuchat na kutoa Dodoso kwa mashabiki wake kwa kuwauliza maswali kadhaa ambayo pengine ndiyo yamemsukuma kufanya hicho anachokifanya .

Unamuongeleaje mgonjwa JayDee na simu hospitalini tena kitandani?? Je! anatoa taarifa kwa ndugu na jamaa au anawasanifu wauguzi?? Wewe ukilazwa huwa una chat??

0 comments:

Post a Comment