amefunguka katika Page ya EATV katika KIKAANGONI LIVE CHAT na kusema kuwa amekuwa akiona watu wanazungumza mabaya kuwa anatoka Kimapenzi na Bond Bin Suleiman .
Alipoulizwa
swali hili na moja ya shabiki kuhusu tetesi hizo mwanadada wastara
Sajuki alisema kuwa suala hilo halina ukweli wowote na kudai kuwa
Bond ni Meneja wake ambaye kwa sasa anamalizia kufanya kazi alizokuwa
ameziacha Mumewe Sajuki kabla ya kufariki dunia.
“Si
kweli ni meneja lakini sio mchezea mwili wa sajuki lakini anafanya
kazi alizoacha sajuki”
Katika
moja ya swali aliloulizwa sana Wastara ni kuhusu mahusiano yake ya
sasa ambapo watu walikuwa makini kujua kama kuna ukweli wowote juu ya
skendo wanazozipata katika mitandao ya jamii na magazeti Pendwa ndipo
shabiki mwingine akabandika swali tena Eti kunatetesi kuwa 2mepata
shemeji yetu mwingine eti kweli ni mtangazaji wa TV furani hivi ? Na
majibu kutoka kwa Wastara yalikuwa kama hivi
“Tetesi
mtazipata nyingi tu mpka za wazoa makopo sababu sina mume”
Wastara
amekanusha skendo kuwa anatoka na Msanii mwenzake wa Filamu ambaye
anafahamika kwa jina la Hemed PHD na kusema kuwa Hemed kwake bado ni
Mtoto mdogo hivyo atasubili sana pamoja na hao ambao wanahisi anatoka
naye.
0 comments:
Post a Comment