Msaniii
katika kiwanda cha Muziki nchini Dayna Nyange ambaye miezi ya
karibuni aliingia Bifu na Produza wake Sheddy Clever pamoja na mkali
wa Ngololo
Diamond Platnum amefunguka na kusema kuwa amekuwa Kimya
sana,amelala sana na sasa anahisi ndio wakati wake kuamka na kufanya
yake.
Kauli
hiyo ya Mwanadada Dayna Nyange imekuja masaa kadhaa baada ya kutoa
Picha ikimuonesha Mwanadada huyo akiwa na Mr Blue akidai kwa sasa
wanafanya yao kwakuwa huu ndio wakati wao kufanya yao na watanzania
kuelewa niniu wakifanyacho.
“ Kiukweli
nimekuwa kimya sana Nimelala sana ......... Na sasa nimeamka.........
ni muda wa kufanya yetu”
aliongeza
mkali huyo wa Nivute kwako kuwa kila jambo huwa linakuja na wakati na
neema yake hivyo anaamini kuwa huu ndio wakati wake yeye kutamba na
kufanya yake pia.
“Kila
jambo na wakati wake But huu ndo wakati wake "MimiNaWewe"
wacha tufanye yetu kwa sababu huu ndo wakati wetu mrbluebyser
"MimiNaWewe"
0 comments:
Post a Comment