Ivo
Mapunda alisema tayari viongozi wake wa Gor Mahia wamemfuata na
kumueleza wanataka kumpa mkataba mpya wa Mwaka mmoja kuendelea
kuichezea Timu yake hiyo.
"Nitabaki Gor Mahia kwa mwaka mwingine mmoja, walinipigia viongozi wangu wakataka kuja kambini nisaini, lakini nikawaambia wasubiri nimalize mashindano ya Kombe la Chalenji,"
Hata hivyo, kipa huyo ambaye mashabiki wa Gor Mahia wamekuwa wakiushinikiza uongozi wa timu hiyo kumsajili, hakuwa tayari kutaja dau ambalo atapatiwa na klabu yake hiyo.
0 comments:
Post a Comment