Siku
za hivi karibuni Msanii Afande Selle aliweka wazi kuwa ameachana na
Mkewe ambaye ameishi naye kwa miaka 15 na kubahatika kupata watoto
wawili,katika tetesi zilizopo zinadai kuwa Baba Tunda ameshindwa
kuendelea kuishi na Mama Tunda kutokana na mabadiliko ya Tabia ya
Mama Tunda ambaye ndiye aliyekuwa Mke wa Afande Selle.
Afande
Selle ambaye kwa sasa ameanza kujikita katika Siasa amejifananisha na
Hayati Nelson Mandela kwa kumpiga chini Mkewe huyo na kuingia rasmi
katika Siasa lakini wadau mbalimbali wamedai kuwa maamuzi aliyofanya
Afande Selle yamesukumwa na Bangi tu na si akili yake ya kawaida.
Bin
Diesel Aende kwanza jela miaka 27 akirudi ndio amuache mkewe hapo
ndio aanze kufikiria kufanana na mandela .Nguvu ya bangi hyo Mandela
alikuwa mtu mkubwa dizaini ya kina Mwl.nyerere Leo mvuta bangi tu
anajifananisha nae kisa kaachana na mkewe tena anapaswa kushtakiwa.
Wema
Christian Szczesny Mibange yao tu hiyo na mwenzie 20%
Peter
Charles Millanzi hahahaha amejifananishaje na mandela kwani huyo
mkewe alimsaliti kama ajamsaliti mwambieni aache ujinga alee familia
yake wasije wakawa omba omba bure .
John
Francis Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "tatizo lenu mnaacha
mambo mazuri tuliofanya mnaiga mambo mabaya tuliofanya"
Edfredson
Nkwama Manchester bangi zinamsumbua mwambie asije akawa chz tu.
Beny
Mfinanga Usifanye ivyo kk kwan ktk maisha kuwalea watt
inahitajika malez ya wazaz wote wawl. Ili kufankisha malengo ya
mtoto, kama mama tunda kakukosea inapaswa msamee maisha yaendelee kk
nihayo tu.







0 comments:
Post a Comment