Mchungaji
Peter Msingwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia chama Cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) amefunguka na kutoa Quatation ya Mwaka 2013
kutokana na imani yake kuwa kuna wakati kuipenda Serikali iliyopo
madarakani sio uzalendo.
"Kuna
wakati kuipenda serikali iliyopo madarakani sio uzalendo, na kuna
wakati kuichukia serikali iliyopo madarakani ni uzalendo. Kuichukia
au kuipenda nchi ni tofaouti kabisa na kuichukia au kuipenda
serikali".Rev. Peter Msigwa (MP) 2013
0 comments:
Post a Comment