Msanii
wa Filamu nchini Tanzania ambaye siku za hivi karibuni vyombo vya
habari pamoja na Mitandao ya kijamii imeanza kumrudisha katika Chat
ya skendo Mjini
hapa huku mwenyewe akionekana hajui wala kutambua
hayo mambo yanatoka wapi.
Magazeti
Pendwa yamefungua Ukurasa Mpya kwa mwanadada Lulu na kila siku kuja
na Headline ya biashara ambayo inafanikisha biashara yao na kuacha
maumivu kwa muhusika au ndugu jamaa wa karibu wa muhusika.
Kutokana
na kutambua wazi kuwa watu wanafanya biashara kupitia jina lake
mwanadada Lulu Michael aliamua kupotezea kama haoni nini watu
wakiandika juu yake hali ambayo iliwafanya wahusika kutafuta namna
nzuri ya wao kuweza kufanya biashara vizuri kwa kuja na Headline
zinazouza zaidi na kuweza kumchafua Zaidi.
“Dah
nilijua mtu ukikaa kimya labda watu wanaweza kukusahau,lkn inaonekana
ndo nimewapa nguvu za kuzusha na kutafuta mambo yangu kwa undani..”
“haya
acha tuone mwisho wake...!kama ni mm ndo natafuta Kiki au nyinyi ndo
mnatafuta Kiki kupitia Mimi..!” Alisisitiza Lulu
Hebu
msisahau Kama sisi wote ni binadamu...!!Inashangaza mnavyotaka tuwe
na Tabia za Malaika..! Mnakwaza? Sawa mti wenye matunda ndo unapigwa
mawe lkn naona huu wangu mmeamua kuujia na Lori la mawe..!na mapanga
juu..!
0 comments:
Post a Comment