Mwanamuziki
Beyonce ambaye ni mke wa Mwanamuziki Jay Z amewashangaza Mashabiki
wake duniani baada ya kuachia Album yake inayokwenda kwa jina la
BEYONCE Kimya kimya bila kutoa taarifa yoyote ile juu ya kuachia kwa
Album hiyo.
Utamaduni
uliozoeleka duniani kwa Mwanamuziki mkubwa huwa wanatoa taarifa juu
ya maandalizi ya Album au Single Fulani lakini kwa mwanadada Beyonce
imekuwa tofauti kidogo kwani hakutoa taarifa youyote ile juu ya
kuachia kwa Album hiyo bali ameiachia Kimya kimya .
Katika
Album hiyo yenye Nyimbo 14 ambayo amewapa shavu wasanii wengine
wakubwa kama Jay Z,Drake,Frank
Ocean,Timbaland,
Michelle
Williams,
Kelly
Rowland,
Justin
Timberlake,na
wengine kibaooo.
Nyimbo
zinazopatikana katika Album hiyo mpya ya Beyonce ni kama zifuatavyo
1)
Pretty Hurts
2) Haunted
3) Drunk in Love (feat. Jay Z)
4) Blow
5) No Angel
6) Partition
7) Jealous
8) Rocket
9) Mine (feat. Drake)
10) XO
11) ***Flawless (feat. Chimamanda Ngozi Adiche)
12) Superpower (feat. Frank Ocean)
13) Heaven
14) Blue (feat. Blue Ivy)
2) Haunted
3) Drunk in Love (feat. Jay Z)
4) Blow
5) No Angel
6) Partition
7) Jealous
8) Rocket
9) Mine (feat. Drake)
10) XO
11) ***Flawless (feat. Chimamanda Ngozi Adiche)
12) Superpower (feat. Frank Ocean)
13) Heaven
14) Blue (feat. Blue Ivy)
0 comments:
Post a Comment