Baada
ya kuandamwa na mambo mbalimbali katika Chama cha Demokrasia na
Maendelea Mbunge wa Kigoma Kaskazini Leo ameandika Quatation ambayo
kwa
namna moja au nyingine inatoa Picha ya wazi kuwa katika Mvutano
na magumu anayopitia sasa kama Mwanachama wa Chadema na Baadhi ya
Viongozi wa Chama hata baadhi ya wafuasi wa chama hicho kuwa ni
mapito tu na atashinda mwisho wa siku.
"First
they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then
you win".
Mahatma Gandhi .
Mahatma Gandhi .
Kwanza
watakukataa,watakucheka,baadaye watapigana na wewe au kugombana na
wewe lakini mwisho wa siku Utashinda.
Hivi
karibuni Kamati kuu ya Chadema ilimvua nyazifa Zote Mbunge wa Kigoma
Kaskazini Zitto Kabwe na kumuandikia Barua ya kujieleza ndani ya siku
14 kwanini alisivuliwe wanachama wa Chadema.
Lakini
pia Mbunge huyo wa Kigoma alishawahi kutoa taarifa kuwa anawafahamu
kwa majina watu ambao walificha Mamilioni ya Pesa Nje ya Tanzania
lakini lakini sakata hili nalo limechukua sura mpya baada ya Viongozi
mbalimbali wakidai kuwa Mh Zitto hana taarifa za watu hao na kumtaka
apewe adhabu kwa kulidanganya Bunge kuwa anamajina ya watu walihusika
kuficha pesa za Umma nchini Uswizi.
0 comments:
Post a Comment