hadi kufikia Shiling 800 kwa Unit Moja.
“Ukweli
ni kwamba TANESCO bado haijapandisha bei ya umeme ila imepeleka
maombi ya kuomba kuongeza bei ya umeme kwa Mamlaka ya udhibiti wa
huduma za Nishati na Maji (EWURA) na si serikali.”
Hatua
hii imefuatiwa baada ya Shirika la Umeme Kuanza kupata taarifa kutoka
kw wadau mbalimbali na wateja wao walipokuwa wakihoji na kujiuliuza
kwanini Bei ya Huduma ya Umeme imepanda mara dufu pasipo kufuatwa kwa
utaratibu na kanuni za Kupandisha Umeme.
0 comments:
Post a Comment