Zikiwa
zimepita Siku kadhaa toka kuvuja kwa taarifa za Director wa Wema
Sepetu aliyefahamika kwa Jina la Chidy kutumia magari ya Kampuni
kufanyia matendo ya
Kishenzi kama kuligeuza Guest na kufanya mambo ya
kishenzi na watoto wa Kike kupitia Gari hilo la Kampuni .
Kwa
mujibu wa Kwa mujibu wa tovuti ya bongoclantz imedai kuwa Mwanadada
huyo Beutiful Onyenye ameamua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi ili
kulinda jina la Kampuni yake ambayo kwa namna moja au nyingine
lilianza kuchafuliwa na Director huyo kutokana na matendo yake ya
ajabu.
0 comments:
Post a Comment