Baada
ya kimya cha muda mrefu kutoka kwa Msanii Belle 9 ambaye ametamba na
Hits Song kibao leo November 26 anadondosha ngoma yake inayokwenda
kwa
jina la Wananitaka ambayo imebeba ujumbe wa Mapenzi lakini ikiwa
na mahadhi ya Kiafrika Zaidi yenye kuburudisha na kuelimisha.
Belle
9 amefunguka kuwa ngoma yake hiyo ameifanya chini ya Maproduza Mawili
Producer wake aliyemtoa ‘Tris’ ambaye hivi sasa yuko Afrika
kusini ndiye aliyegonga Beat na Ngoma kaimalizia vocal kwa producer
Mona Gangster.
“
Hiyo ngoma ni
muziki flani hivi wa kiafrika kwa sababu sasa hivi African Music ndio
muziki ambao umeiteka dunia nzima hata wasanii wa Afrika wanauza sana
huko Ulaya. Watu wamezoea kunisikia sana kwenye beat za R&B sana,
kwa hiyo round hii nimechange kidogo ili kutengeneza mazingira ya
hata kupata nafasi sehemu za mbali.”
0 comments:
Post a Comment