Tuesday, November 26, 2013

IKIWA LEO NI MWAKA TOKA KUFARIKI SHAROMILIONEA ROMA MKATOLIKI AMESEMA HAYA JUU YA SHAROMILIONEA.

Ukiwa umeshapita Mwaka mmoja Toka Msanii Sharomilionea alipofariki dunia kutokana na ajari aliyopata ya Gari iliyopelekea
Kukatiza Maisha ya Nyota huyo wa Filamu na Muziki amliyekuwa ameanza kupata Mafanikio kutokana na kazi yake ya Sanaa.


Sharomilionea alifariki dunia mishale ya saa 3:00 usiku Mwaka jana baada ya gari alilokuwa akiliendesha aina ya Toyota Harrier kupata ajali mbaya iliyomuua papo hapo wakati akikaribia kijijini kwao Lusanga ili kwenda kuwajulia hali wazazi wake.

Katika kukumbuka na kumuombea Msanii Roma Mkatoliki ambaye ni anaiwakilisha Tanga ameweza kusema maneno machache kwa ajiri ya kukumbuka Marehemu Sharomilionea na kumuombea apumzike Salama.
Ni mwaka 1 leo umetimia toka uondoke duniani Mgosi (wakwetu)! Alitufanya tucheke/tuwe na furaha so tusimsahau kirahisi R.IP. SHAROMILIONEA”

0 comments:

Post a Comment