Monday, November 18, 2013

SIMBA KIMENUKA KIBADENI,JULIO WATIMULIWA HUKU RAGE AKISIMAMISHWA.

Ikiwa ni siku moja imepita toka Mwenyekiti wa Simba Rage kutoa kauri kuwa Simba haitamuweka kando Kocha wake King Kibadeni lakini kupitia kamati ya
Utendaji iliyokutana jana imejirizisha kuwa Kocha Mkuu na Kocha Msaidizi wa Simba Sports Club kuwa uwezo wao ni mdogo na utendaji wao umekuwa ni hafifu hivyo wanapaswa kuachia ngazi.

Mbali na majanga ya Makocha Kamati kuu pia imemsimamisha Mwenyekiti wake wa Simba Ismail Aden Rage sababu kubwa kusimamishwa kwa Mwenyekiti huyo ni kutokana na Mchakato wa Kumuuza Mchezaji Emmanuel Okwi.

Source :Saleh Jembe

0 comments:

Post a Comment