Mwanaume
mmoja ambaye amefahamika kwa jina Gabriel Munis ambaye ni
mfanyabiashara kutoka mwanza amefanya mauaji na kisha mwenyewe
kujiuwa
kwa kujipiga Risasi,Tukio hilo lililofanyika katika Maeneo ya
Ilala Jjijini Dar es salaam limesababisha Vifo wa watu wawili na
Majeruhi ya watu wawili ambao ni Dereva wa Gari ambaye amefahamika
kwa jina la Francis Samwel na Christina Nando ambaye ndiye mpenzi
wake .






0 comments:
Post a Comment