Tuesday, November 19, 2013

HIVI NDIVYO NEY WA MITEGO ANAKULA UJANA WAKE.

Masaa kadhaa yamesalia kwa mkali wa Hip Hop Ney wa Mitego kuionesha jamii kuwa yeye habahatishi kama ambavyo wengi wamekuwa wakidai kuwa ni
mbahatishaji tu.

Kama ilivyokuwa imepangwa mkali ambaye amesumbua sana na Kibao chake cha Salamu zao kesho Tarehe 20 ataachia Kibao kipya kinachokwenda kwa jina la NAKULA UJANA ambacho kimepikwa katika Studio mbili Tofauti chini ya Mikono ya Marko Chali na Mr T Touch.


Kwa mujibu wa Ney amedai lengo kuu la kutoa Wimbo huo ni kuzungumzia Maisha ya Vijana ya kila katika Jamiii ambayo yanawakuta wengi na wengi huyafanya.

0 comments:

Post a Comment