Baada
ya taarifa kudhibitika kutimuliwa Jangwani Kwa kocha huyo ambaye
awali alikuwa akikinoa kikosi cha Kagera Sugar alipotafutwa haya
ndiyo yalikuwa maelezo yake.
“Mpaka
sasa (saa 6:47 mchana) bado sijapata barua ya kusimamishwa kwangu
kuifundisha Simba, lakini sina pingamizi lolote na uamuzi huo.
Naamini nitalipwa haki yangu kulingana na makubalino yetu yaliyomo
kwenye mkataba wangu na klabu,” alisema Kibadeni.
“Nitaeleza
zaidi kuhusu suala hili baada ya kupata barua rasmi ya kusitishwa kwa
mkataba wangu na Simba,” alifafanua zaidi Kibadeni.







0 comments:
Post a Comment