Monday, November 4, 2013

NORAH AMEKANA KUPIGWA NA RAY C

Siku za karibuni kulikuwa na Habari ambayo ilitawala katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa Msanii Norah amepigana na Msanii wa Bongo Fleva Ray C na
kucharazwa kipigo cha Mbwa Mwizi na Ray C,habari hizo zilidai kuwa wawili hao waligombana baada ya kukutana Studio na Ray C kumchana Norah kuwa hajui kuimba Bora aunze Karanga kuliko kuimba.
 
Mitandao ilizidi kusema kuwa baada ya Norah kupokea kichapo hicho kutoka kwa Ray C hakikutosha kwani Ray C alivunja mpaka kioo cha gari ya Norah na kutimua zake.

Baada ya uzishi huu kuenea mwanadada Norah amefunguka na kusema kuwa yeye na Ray C ni Marafiki wakubwa na hawajapigana kama vyanzo mbalimbali8 vya Habari vilivyokuwa vikiripoti.

CHEKI VIDEO HIII MUONE 

0 comments:

Post a Comment