Monday, November 25, 2013

MANENO MACHACHE YA MASANJA MKANDAMIZAJI JUU YA SHOW YA P SQUARE

Msanii Masanja Mkandamizaji LEO kupitia Mtandao wqa kijamii ameonesha kukubali na kupenda Jitihada zilizofanywa na waandaaji wa Show Ya P Square
ambayo ilifanyika Siku ya Jumamosi huku ikiwa ikiacha Historia kutokana na maandalizi mazuri ambayo yalitoa nafasi kwa Mashabiki kupata Burudani kwa asilimia 100.






0 comments:

Post a Comment