Monday, November 25, 2013

JULIO, KIBADENI WARUDISHWA SIMBA TENA

Zikiwa zimepita siku kadhaa toka kutimuliwa kwa Makocha wa Simba Abdallah Kibadeni na Jamhuri Kiwhelo Julio Mwenyekiti wa
Simba Ismail Aden Rage amewarudisha kazini makocha hao.


Rage ametangaza leo kwamba Kibadeni na Julio wataendelea na kazi yao na si Kocha Logarusic. “Kweli nimewarudisha Kibadeni na Julio na hawa ndiyo makocha wa Simba na wataendelea na kazi,”




Source:Champion Newspaper

0 comments:

Post a Comment