unaweza kuchuna tu ukiwa na matumaini ya kuwa hayo unayopitia kwa wakati huo ni mapito.
Leo
kupitia Mitandao ya Kijamii Msanii Mwana FA amefunguka kuonesha
kukereka na baadhi ya watu ambao hutumia Mitandao ya Kijamiii
kuwatusi watu wengine,FA amefananisha kitendo hicho kuwa ni sawa na
watu hao kukosa kazi za kufanya na kuwa watu hao hawanajitihada za
kupigania maisha yao binafsi.
“Ukiona
una muda wa kuja kwy mitandao ya kijamii kutukana watu,haswa
WASIOKUJUA,na hawasumbuki kukujibu na unaendeleza mitusi,ujue huna
kazi za kutosha,hupigani sawasawa na maisha yako..get busy,acha
utoto...siku njema”







0 comments:
Post a Comment