Friday, November 15, 2013

BEN PAUL NA JOH MAKINI JUKWAA MOJA NA P SQUARE 23.

Ben Paul Msanii mkali wa RnB Pamoja na Mwamba wa Kazisikazi Joh Makini kutoka Tz wataungana Kina Ladjaydee na Prof Jay katika Kuwasindikiza Wale wa kali wa kufanya Show za Kimataifa Psquare
watafanya Show moja na Psquare Dar katika Viwanja vya Leaders Club siku ya Tarehe 23 mwezi huu.


Jumla la wasanii wanne kutoka Tanzania Ndiyo watawasindikiza wakali hao katika lile tamasha la Mwisho wa Mwaka kwa Burudani Tanzania.
wasanii hao ni Lady Jaydee,Prof Jay,Joh Makini na Ben Paul .

0 comments:

Post a Comment