Friday, November 15, 2013

LADYJAYDEE PROF JAY KUKINUKISHA NA PSQUARE DAR23

Wale wakali wa kufanya Show za Kimataifa Psquare na wakali wa Tanzania nawazungumzia Team Annaconda wakiongozwa na Lady Jaydee pamoja na Prof
Jay watafanya Show moja na Psquare Dar katika Viwanja vya Leaders Club siku ya Tarehe 23 mwezi huu.
 
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa leo kupitia Kituo cha Radio cha East Africa Radio katika Kipindi kinachoongozwa na Zembwela wametangazwa wasanii hao wawili ambao wameweza kujijengea Mashabiki wao kutokana na Utendaji wao wa kazi.



Ili kujuwa na wasaanii gani wengine wa Bongo watafanya Show pamoja na Psquare mbali na Lady Jaydee na Prof Jay endelea kutembelea Tovutii hiii .




0 comments:

Post a Comment