Wednesday, November 20, 2013

FAHAMU MANENO YA MWISHO KUANDIKWA NA MUUAJI GABRIEL MUNISI ALIYONDIKA KABLA YA KUTEKELEZA MAUAJI HAYO JANA DAR ES SALAAM.

Ikiwa siku moja imeshapita kwa Marehemu Gabriel Mushi ambae amefanya Tukio la mauaji jana Asubuhi maeneo ya Ilala kabla ya yeye mwenye kujimaliza kwa
kujipiga Risasi baada ya kuhisi amekamilisha malengo yake.

Kwa mujibu wa Habari zilizotolewa na kuthibitishwa na Polisi zilidai kuwa Marehemu huyo alisababisha Kifo cha mdogo wa Mpenzi wake na kuwajeruhi wengine.

Lakini inaonesha wazi kuwa Marehemu alikuwa akitambua kuwa atafanya Tukio kama hilo au alikuwa akijua wazi kuwa kuna jambo baya anaweza kulifanya na kuwataka watu wasifikilie tofauti kwani mwenye kujua ukwelikabla la kufanya tukio hilo

Najua mtasema sana ila hakuna anaejua ukweli zaidi yangu mm muhusika na najua wazi mengi mtawaza na hamtopata majibu yake.... (Remember all things are possible)”

0 comments:

Post a Comment