Wednesday, November 20, 2013

AFANDE SELE AMCHANA WAZIRI KUTOKANA NA TATIZO LA UMEME

Mwanamuziki aliyejitupa katika Siasa za Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Afande Sele amemchana Live Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kuwa ni Muongo Mkubwa kwani alitoa ahadi juu ya Masuala ya Umeme kwa Watanzania lakini mwisho wa siku ameshindwa kutekeleza ahadi hiyo.

Profesa muhogooo au muongo,,,''wkt huyu fisad anapiagania kuwadhulumu watz na watu wa kusini gesi yao ili kuigawa'kikuwadi'kwa wageni aliwahakikishia wananch kwamba mgao wa umeme utabaki kuwa historia hapa nchini lkn sasa kiko wap?”

Aliongezea Afande Selle Kusema kuwa kutokana na Tatizo linalo ikumba Taifa sasa linapelekea Uchumi wa Taifa na Uchumi wa Mtu mmoja mmoja kudorola siku hadi siku kutokana tu na usimamizi hafifu wa Rasilimali zetu.

Nchi inanuka mgao wa umeme kama kawa huku uchumi wa taifa na raia wa kawaida ukishuka kwa kasi,Mungu ibariki Tz ye2 dhidi ya hawa maprof waongo/wa-hongo!,,,”

0 comments:

Post a Comment