mwenye Sifa hizi anahitajika kujiunga na Wasfiii.
Monday, November 25, 2013
DIAMOND PLATNUM ATANGAZA NAFASI YA KAZI
12:02 AM
No comments
Msanii wa Bongo Fleva
Diamond Platnum amefungua mlango wa ajiri kwa kutangaza Nafasi ya
Kazi kupitia Mtando wa Kijamii wa Facebok hivyo mtu
mwenye Sifa hizi anahitajika kujiunga na Wasfiii.
Je
unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha,
kushoot Video na kuedit...?
mwenye Sifa hizi anahitajika kujiunga na Wasfiii.







0 comments:
Post a Comment