Tuesday, October 1, 2013

WAMETUKANA WAMECHOKA MIMI NAVUKA BODA WANAPAGAWA-SUMA MNAZALETI

Mkali katika miondoko ya Rap ambaye amekwishawai fanya kazi chini ya Usimamizi wa Ostaz Juma na Musoma akiwa na kundi la Watanashati ambaye
aliwahi kutamba na ngoma yake ya CHUKUA TIME aliyo mshirikisha Ommy Dimpozi amefunguka na kusema kuwa kuna baadhi ya watu hawapendi maendeleo yake kwani wamekuwa wakimzungumzia vibaya.

Asanteni media zote Tanzania! ASANTEE! Wametukana wamechoka inshaallah mi navuka boda wanapagawa! Man back to bizness “

Mkali huyo ambaye kwa sasa amedondosha ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la WAMECHELEWA ambayo mpaka sasa imekamilika kwa kichupa ambacho kwa maelezo yake amelenga kutusua soko la mbele na kuweza kuonekana katika Lunninga mbalimbali Africa kama Channel O Africa,MTV Base Nk




0 comments:

Post a Comment