Wednesday, October 23, 2013

TUNAIFUNGA SIMBA COASTAL UNION WAJITAPA

Timu ya Coastal Union yenye makazi yake Mjini Tanga leo itashuka dimbani na Kikosi cha Simba huku Simba akiwa mgeni wa Coastal Union,wagosi hao wa kaya wametijitapa kumnyoa Simba na kusema kuwa wana imani na Kikosi cha Kwanza kinatosha kuwanyoa Simba .
Kikosi hicho ni kama Ifuatavyo

1. KADO
2. KIBACHA
3. MANI
4. MARCUS
5. NYOSO
6. SANTO (C)
7. DANNY
8. ODULLA
9. YAYO
10. BOBAN
11. MASUMBUKO

AKIBA

12. LUBAWA (GK)
13. PHILLIP
14. CHUMA
15. RAZAKH
16. UHURU
17. KISAMBALE
18. SELEMBE



0 comments:

Post a Comment