kutoka TIP TOP COONECTION na uongozi mzima wa Tip Top ambapo kuwa ametimuliwa katika kundi linalo ongozwa na Ostaz Juma na Musoma.
Dogo Janja amefunguka na kusema kuwa yeye hajatimuliwa bali ameamua mwenyewe kuondoka Watanashati na kwenda kujitegemea kama wasanii wengine ambao hawapo katika Uongozi wa mtu7 yoyote yule,Dogo Janja amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye amekuwa mtu mzima hivyo hawezi kusihi kwa kupelekeshwa bali anaishi kwa kile anachoamuwa.
"Najua
yatasemwa mengi kutoka kwa Ostaz Juma ila mimi ndio uwamuzi wangu,
kuna watu wanasema sina utovu wa nidhamu lakini hao watakuwa
wananijua sasa hivi hawajanifuatilia kutoka nyuma.
Hata
mtoto mdogo atakuwa mtundu ila akiwa mkubwa hunyooka na kuwa mtoto
mzuri sasa nimekuwa mkubwa na kupelekwa pelekwa tena sitaki, kwa
maelezo zaidi Ostaz Juma aongee na wazazi wangu asiongee na
mimi"(quotation source:Dj Choka)
Dogo
Janja kabla ya kujiunga Watanashati alikuwa chini ya Msanii Madee
ambaye ndiye alimtambulisha kwa jamii na baadaye walishindana na
kuelekea Katika Kundi La Mtanashati akiwa chini ya Kiongozi Ostaz
Juma na Musoma.







0 comments:
Post a Comment