Wednesday, October 23, 2013

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHO IVAA RHINO RANGERS LEO

Leo kikosi cha Yanga kitakuwa kibaruani dhidi ya Timu ya Rhino Rangers katika moja ya mchezo wa Ligi kuu Vodacom inayoendelea leo katika Viwanja tofauti
tofauti.
Kikosi cha Yanga kimetangaza wachezaji ambao wataanza kucheza katika mechi hiyo kama ifuatavyo.
1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Juma Abdul - 12
3.David Luhende - 3
4.Mbuyu Twite - 6
5.Kelvin Yondani - 5
6.Rajab Zahir - 14
7.Saimon Msuva - 27
8.Frank Domayo - 18
9.Hamis Kiiza - 20
10.Mrisho Ngassa - 17
11.Haruna Niyonzima - 8

Subs:
1.Yusuph Abdul - 19
2.Oscar Joshua - 4
3.Athuman Idd 'Chuji' - 24
4.Nizar Khalfani - 16
5.Reliants Lusajo - 9
6.Jerson Tegete - 10
7.Didier Kavumbagu - 7

0 comments:

Post a Comment