Tuesday, October 8, 2013

PICHA 3 ALI K AKIWA AKIWA STUDIO NA PRODUZA SHEDDY CLEVER ALIYETENGENEZA MY NUMBER 1 YA DIAMOND.

Kwa nuda mrefu mashabiki wa mkali wa Sauti aliyetamba na ngoma nyingi toka enzi za Sinderela mpaka Kidela ambaye amekuwa kimya kwa sasa kiu yao inakaribioa
kuisha baada ya mkali Ali Kiba kukutana na mkono wa Mtayarishaji mkali wa muziki wa Bongo kwa sasa Sheddy Clever aliyeweza kugonga ngoma kali kibao na kusikika vilivyo katika masikio ya watu.

Kwa mujibu wa Produza huyo amefunguka na kusema kuwa muda si mrefu anadondosha balaa jingine katika muziki wa Bongo baada ya kumuachia na kumtendea haki msanii Diamond Platnum na ngoma yake ya MY Number 1.








0 comments:

Post a Comment