The Hip hop
ambassador kutoka Tamaduni Music Nikki Mbishi a.k.a Baba Malcom a.k.a
Zohan anatarajia kuachia ngoma mpya ijumaa ya wiki hii.
Ngoma hiyo inayokwenda kwa jina la “Yote Sawa” imefanyika Noma record chini ya producer Kalorete na Nikki Mbishi mwenyewe ikiwa kwenye mahadhi yaleyale ya
Ngoma hiyo inayokwenda kwa jina la “Yote Sawa” imefanyika Noma record chini ya producer Kalorete na Nikki Mbishi mwenyewe ikiwa kwenye mahadhi yaleyale ya
ki-harakati (HipHop), na hakuna mtu
aliyeshirikishwa kwenye ngoma hiyo zaidi ya kupita verse na chorus
zote yeye mwenyewe.







0 comments:
Post a Comment