Tuesday, October 8, 2013

NAPENDA PENNY NA SIJARUDIANA NA WEMA-DIAMOND

Msanii Diamond Platnum Leo amefunguka kuwa na kuandika maneno haya yenye ujumbe huu.Kumekuwa na Uvumi na Habari nyingi sana Mitandaoni
na Kwenye Media tofauti... kwamba mimi na MwanadadaWema Sepetu tuna mahusiano ya Kimapenzi, kitu ambacho Sikweli na taarifa hizo ni za uongo.. uvumi huu ulianza kisa tu yeye kucomment kwenye Account yangu ya Instagram?

Hebu tujifunze kubadilika, inamaana watu mkiwa hamko kimahusiano ya Mapenzi basi msizungumze ama Kushiriki kwa chochote? Futeni huo uzamani na Mbadilike, inamaana Mnapenda kuona watu wanauadui... nimuda wa kufanya kazi ili Kulipa sifa na heshima Taifa la Tanzania na si kuekeana chuki zisizo nanfaida..

I REAL LOVEPENNY,SIJARUDIANA NA WEMA.



0 comments:

Post a Comment