Msanii
Diamond Platnum amefunguka na kumchana Produza Manecky kutoka AM
Records ambaye amekwisha tengeneza kazi mbali mbali za Diamond .
Diamond
kamchana na kumwambia maneno ya shombo produza huyo baada ya
kuvujisha wimbo wake unaokwenda kwa jina la NIKIFA KESHO ambao
umesambaa katika mitandao ya kijamii ndani ya siku mbili hizi
“Kuvujisha
Nyimbo yangu hakuwezi kunipunguzia wala Kunidhuru chochote...
0 comments:
Post a Comment