Wednesday, October 9, 2013

MSANII SHAA KUONGEZA NGUVU WANAUME TMK

Msanii ambaye ameshakisha fanya kazui kibao kali zenye viwango vya Kimataifa Shaa ameingia mkataba na Meneja wa kundi la TMK Wanaume Family ambae
kwa sasa mbali na kuongoza kundi hilo anakuza vipaji kupitia Mkubwa Fela na Wanae.
 
Mkubwa Fela amefunguka kuwa amekubaliana na Meneja wa wali wa Shaa na watakuwa na masanii huyo kwa miezi Sita huku akiwa huru kufanya kazi mbalimbali na Watoto wa mkubwa Fela ambao wamepiga kambi Pande za Temeke.

Saidi Fela alifunguka sababu zilizofanya kumsajili Msanii shaa kwa kuingia naye mkataba kuwa ni uwezo wake mkubwa wa kufanya kazi zenye viwango vya kimataifa,hivyo anaamini uwepo wake ndani ya miezi sita kutazaa matunda makubwa kwa vijana wake na muziki kiujumla.

1 comments: