jumamosi dhidi ya wenyeji wakata miwa Kagera Sugar mechi takayopigwa kwenye dimba la uwanja wa Kaitaba
Wednesday, October 9, 2013
KAMA WEWE SHABIKI WA YANGA HII INAKUHUSU
5:44 AM
No comments
Kikosi
cha Young Africans kesho asubuhi kinatarajia kueleeka mjini Bukoba
mkoani Kagera tayari kabisa kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom siku ya
jumamosi dhidi ya wenyeji wakata miwa Kagera Sugar mechi takayopigwa kwenye dimba la uwanja wa Kaitaba
jumamosi dhidi ya wenyeji wakata miwa Kagera Sugar mechi takayopigwa kwenye dimba la uwanja wa Kaitaba
0 comments:
Post a Comment