Mkali
wa Sauti ambaye alianza kuvuma kwa Mama Halima na kufanikiwa kupenya
katika Masikio ya watanzania walio wengi na kuweza kukubalika kwa
kazi zake
alizoendelea kuzidondosha Linex Sunday Mjeda kesho atakuwa
akitambulisha video ya Wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la
KIMUGINA.
LINEX
ameomba watanzania waweze msupport kwa kuibuka katika Ukumbi wa
Ambassador Lounge kwa kiingilio cha Elfu Kumi tu huku ukiweza kupata
Burudani kutoka Kwa Linex Mwenyewe ambaye atasindikizwa na wakali
kama Barnaba &Amini,Recho Stara Thomas pamoja Chidy BENZI.
Kwa
wasanii wa Nyumbani kwa sasa wengi wameanza kuziona fursa za
kutengenezea kipato kwa njia mbalimbali,wapo wasanii walioanza
kuziona Fursa hizo mapema akiwemo Ladyjaydee,Ay na FA,Diamond Platnum
pamoja na Ommy Dimpozi ambao nao wakiweza kuzindua video za kwa
kufanya Party.







0 comments:
Post a Comment