Friday, October 18, 2013

NILIKATISHWA TAMAA NA KUDHARAULIKA SANA-SHEDDY CLEVER

Produza anaefanya vizuri katika Tasnia ya muziki wa Bongo fleva ambaye kwa sasa ametengeneza HITS kama My Number ya Diamond na zingine kibao
amefunguka na kusema kuwa kabla ya yeye kutoka alidharaulika sanaa na kukatishwa tamaaa na watu mbalimbali katika kazi aifanyayo.

Mwenyezi Mungu wewe ndio kimbilio langu kwani nimetoka mbali saana vikwazo vingi katika maisha lakini umenipigania mpaka kufika hapa.”

nimekatishwa tamaa,nilitukanwa,nilinyanyaswa,nilidharaulika sikuthaminika lkn kwa nguvu zako Mungu nimeshinda vikwazo bado nahitaji msaada wako ili niweze kutimiza ndoto zangu kwani wewe ndio unaweza kubadiri maisha yangu nasio binadamu hapa duniani Asante Mwenyezi Mungu!!!!! “

0 comments:

Post a Comment